Chidi Benz azungumza kilio chake, ‘natoa ngoma hazigongwi,no shows’

Leo hit-maker huyo wa Dar Standup amewasilisha kilio chake kupitia Twitter kama ifuatavyo:

Wasanii wengi waoga kutokana na hali halisi ya maisha waliyotoka,sio wa kuchekwa.wasanii wengi wanafiki koz hawajiamini kiuwezo binafsi.

Redio zina wasanii wanaowashikilia,Redio sio yako so eiza jiunge nao au achana nao.wengi sio wakali wanatengenezwa na wanahitaji hilo.Njaa

Natoa ngoma hazigongwi,no shwz,hakuna chcht but utaskia kapigana mgomvi habadiliki,mimi ambae nimefanya kazi na wasanii woote?nawapigaje?

Mimi ni msanii wa kwanza kukusanya wasanii wengi sehem moja,tulikua na nguvu na naenda nao kokote.wadau wakaogopa wanajua nina uwezo.wanajua

Credits:Bongo5 COMMENTS

Account Ya Twitter Ya AY Yawa Verified

Account ya mtandao wa kijamii ya Twitter ya mwanamuziki maarufu Afrika kutoka Tanzania, Ambwene Yesaya yatambulika rasmi. Twitter ambayo hufanya hivyo kwa kukuwekea alama ya tick ya blue mbele ya jina lako ili kukutambulisha kwa marafiki, ndugu, jamaa, mashabiki wako wanaokufuata [followers] kuwa wewe ni mtumiaji halisi wa account hiyo walifanya hivyo kwenye account ya Ambwene ndani ya masaa kadhaa yaliyopita.
      Twitter pia hufanya hivi ili kukutofautisha na watumiaji wengine wanaoweza kutumia jina lako katika mtandao huo na wamekuwa wakifanya hivyo kwa watu maarufu katika nyanja mbalimbali kama muziki, serikali, siasa, uigizaji, dini, mitindo, uandishi wa habari, biashara n.k.
Ambwene Yesaya [@AyTanzania] amekuwa ni mwanamuziki wa kwanza kutoka Tanzania mkubwa anaeendelea kufanya vizuri duniani na kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika tasnia ya muziki, for his twitter account to be verified amekuwa mmoja kati ya watanzania wachache ambao account zao zimekuwa hivyo akiwemo mcheza kikapu wa Oklahoma City Thunder(OKC) Hasheem Thabeet [@hasheemthedream], Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete [@jmkikwete] Flaviana Matata [@FlavianaMatata] na Waziri January Makamba [@jmakamba].


COMMENTS

Izzo Bizness Aiponda TANESCO ... Asema "Ni AIBU ...

Few minutes ago, rapper kutoka Mbeya City, Izzo Bizness ameonekana kukasirishwa na kinachoendelea katika Shirika La Usambazaji wa Umeme hapa Tanzania, TANESCO ...
Izzo ambae anafanya vyema kwa sasa na ngoma yake ya BALL PLAYER, ameonekana kuchukizwa sana na kitendo cha kukatika kwa Umeme kwa muda mrefu bila taarifa na pia kucheleweshwa kurudishwa ...
Izzo, "Tangu saa nane mchana mpaka sasa umeme hakuna halafu bila aibu eti mnasema kwa kujinadi #TumejaribuTumeweza Shame. " akionekana kumaanisha ni muda mrefu umepita toka umeme kukatika ...
Lakini aliongeza kuwa, kukatika huku kunarudisha nyuma mambo mengi ya kimaendeleo ikiwa ni pamoja na mawasiliano maana kwa muda wote huu uliokatika hata simu pia zinaisha charge na watu kushindwa kuwasiliana kwa kazi tofauti ...
Shirika la umeme limekuwa likilalamikiwa sana kwa tatizo lake la kukatika kwa umeme kwa miaka mingi huku kukiwa na dalili zote za kutoshughulikia suala hilo ...
Credits:GongaMX COMMENTS

REVEALED: What really happened to IEBC’s electronic Presidential Vote Tallying System

Events that have followed the successful Monday election signal a trend intended to create a negative public policy on the election and IEBC credibility.
The Safaricom Virtual Private Network that runs on Oracle and a 3-tier Cisco Network was supposed to be tamper proof when supporting IEBC servers.
Safaricom, which is owned by Vodafone, a British giant telecoms company data and VPN servers supporting the IEBC VPN came under Intelligence Service scrutiny.
The IEBC Servers and the IEBC vote tallying computer system disc-space completely malfunctioned and collapsed failing to respond in correct downtime.
In the same week, over 3500 British troops landed in Kenya and headed for the Laikipia training grounds where they undergo final training before deployment.
Laikipia is Kenya Defense Forces most heavily guarded and highly equipped airbase and military facility in Kenya since the Kenya Airforce has its main airpower stationed here.
The British High Commissioner to Kenya, Christian Turner through proxies particularly Maina Kiai began lobbying the inclusion of spoilt votes in final tally besides attempting to delay the presidential total tally announcement.

COMMENTS

Diamond Platnumz Announce to Buy Another New Expensive Car

The Musician from Tanzania Diamond Platnumz through Millard Ayo Has announced to buy another new car from Japan, He said  the new car will be expensive more than the Toyota Prado which he bought it last year around June..
 Very recently the singer has completed to build the House for her mother at Tegeta Area , The house is said to cost something like two hundred and sixty millions...Big up Diamond...Those are  blessing from your mother ....We all have to learn a lesson from you-We should love our Mothers.


COMMENTS

Suffering For Success..Alafu Mseme Nawaloga

Diamond Platnumz Posted this Picture Today on his facebook wall and wrote " Suffering For Success..Alafu Mseme Nawaloga"
 To me honest i like they way how this dude perform his shows kuanzia kuimba na hata anavyocheza na dancers wake ambao wote ni wanaume....Jamaa amejipanga sana sijaona msanii yoyote wa bongo flava aliye jipanga kama huyu......Nikilinganisha na wasanii wengine ambao wakipanda jukwaani hakuna jipya zaidi ya kuimba na kucheza kidogo.....

Sikubaliani kabisa na wale wanao sema diamond analoga...Kazi yake inaonesha dogo kajipanga...Wengine wataendelea kusubiri sana.... COMMENTS

Fashion In East Africa-This are my favorite dress codes last year, whats yours, and who rocked it?

Fashion is very important aspect in our lives, looking good and unique brings out a persons personality more evidently. To me Fashion goes hand in hand with music, if you look good its like having your favorite music playing in your mind all day.

How do you feel about fashion, whats your take for fashion in east Africa, Who wore it best last year and who's leading this year?

Jackie Cliff
This are my favorite dress codes last year, whats yours, and who rocked it? COMMENTS

What is your Take on TFF Saga ? Are They Right or Not?

What is your Take on TFF Saga ? Are They Right or Not?
Tanzania Federation has said they will not use the 2006 Constitution as it was ordered by the Government of Tanzania through the Ministry of information, culture and Sports and instead they will continue to use the 2012 constitution..

What is your Take on TFF Saga ? Do you think they Are Right or Not? Leave your Comment below to tell us what you think.

COMMENTS